Quotes from Enock Maregesi
Ukitaka kujua maana halisi ya maisha yako kuwa tayari kufanya vitu vikubwa vitakavyohitaji nguvu ya Mungu kuvikamilisha – na kudumu katika maisha hayo kwa kafara ya maombi.
~ Enock Maregesi
BazillionQuotes.com
Wanasayansi wanasema hakuna Mungu kwa sababu hawawezi kumwona wala kumgusa. Lakini nao hawana akili kwa sababu hawawezi kuiona wala kuigusa.
~ Enock Maregesi
BazillionQuotes.com
Develop your soul into independence!
~ Enock Maregesi
BazillionQuotes.com
Words are the bricks of our world and they have the power to change it.
~ Enock Maregesi
BazillionQuotes.com
Imani ni nia ya kujua kisichoweza kujulikana na hupeleka watu kwenye ukweli. Kuamini hupotosha, na ni nia ya kudharau kinachoweza kujulikana.
~ Enock Maregesi
BazillionQuotes.com
Pambana na Shetani kwa upanga wa imani ambao ni ukweli kwani ukweli ndiyo utakaokuweka huru.
~ Enock Maregesi
BazillionQuotes.com
Secure tomorrow today by sowing good seeds today and by watering them with faith and love to others.
~ Enock Maregesi
BazillionQuotes.com
Heshima hujengwa kwa hekima, haijengwi kwa misuli.
~ Enock Maregesi
BazillionQuotes.com
People think that other international languages are smarter and more business wise. But they have to understand that we have to preserve our culture.
~ Enock Maregesi
BazillionQuotes.com
No matter how talented or skilled you are, you will never reach your full potential without expert guidance.
~ Enock Maregesi
BazillionQuotes.com
The best prize life has to offer is not a chance to work hard and be something in the community. It is the perfume of God that resides within you.
~ Enock Maregesi
BazillionQuotes.com
